Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 5:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Majivuno yenu hayafai! Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge lote la unga?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Majivuno yenu si mazuri. Je, hamjui kwamba chachu kidogo huchachusha donge zima la unga?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Majivuno yenu si mazuri. Je, hamjui ya kwamba chachu kidogo huchachusha donge zima la unga?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 5:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hao wote ni wazinzi; wamekuwa kama tanuri iliyotiwa moto na mwokaji; asiyehitajika kuuchochea moto, tangu kuukanda unga hadi utakapokwisha kutiwa chachu.


Akawaambia mfano mwingine; Ufalme wa mbinguni umefanana na chachu aliyoitwaa mwanamke, akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachachwa wote pia.


Umefanana na chachu aliyotwaa mwanamke akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachacha wote pia.


Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa wake yule mnayemtii, iwe ni utumishi wa dhambi uletao mauti, au iwe ni utumishi wa utii uletao haki.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Basi, mtu yeyote na asijisifie wanadamu. Kwa maana vyote ni vyenu;


Nanyi mwajivuna, wala hamkusikitika, ili kwamba aondolewe miongoni mwenu huyo aliyetenda jambo hilo.


Chachu kidogo huchachua donge zima.


na neno lao litaenea kama donda ndugu. Miongoni mwa hao wamo Himenayo na Fileto,


Lakini sasa mwajisifu katika majivuno yenu; kujisifu kote kwa namna hii ni kubaya.