Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 4:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnapendelea lipi? Nije kwenu na fimbo, ama nije na moyo wa upendo na upole?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 4:21
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wengine wamejivuna kana kwamba siji kwenu.


kumtolea Shetani mtu huyo, ili mwili uadhibiwe, ili na roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu.


Lakini mimi namwita Mungu awe shahidi juu ya roho yangu, ya kwamba, kwa kuwahurumia sijafika Korintho.


tena tukiwa tayari kupatiliza maasi yote, kutii kwenu kutakapotimia.


Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Nilimwonya Tito, nikamtuma ndugu yule pamoja naye. Je! Tito aliwatoza kitu? Je! Hatukuenenda kwa Roho yeye yule na katika nyayo zile zile?


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;


Lakini nafsini mwangu nilikusudia hivi, nisije kwenu tena kwa huzuni.


Nami niliwaandikia neno lilo hilo, ili nijapo nisitiwe huzuni na wale ambao ilinipasa kuwafurahia; nikiwatumaini ninyi nyote kwamba furaha yangu ni yenu nyote pia.


Maana hata ile iliyotukuzwa haikuwa na utukufu hivi, kwa sababu ya utukufu uzidio sana.


Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.


bali tulikuwa wapole katikati yenu, kama vile mlezi awatunzavyo watoto wake mwenyewe.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.