Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi wengine wamejivuna kana kwamba siji kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadhi yenu wameanza kuwa na majivuno wakidhani kwamba sitakuja tena kwenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadhi yenu mmekuwa na jeuri mkidhani kuwa sitafika kwenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wengine wamejivuna kana kwamba siji kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 4:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mnataka vipi? Nije kwenu na fimbo, au nije katika upendo na roho ya upole?


Nanyi mwajivuna, wala hamkusikitika, ili kwamba aondolewe miongoni mwenu huyo aliyetenda jambo hilo.


naam, naomba kwamba nikiwapo, nisiwe na ujasiri kwa uthabiti ambao nahesabu kuwa nao juu ya wale wanaodhania ya kuwa sisi tunaenenda kwa jinsi ya mwili.


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;