Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 4:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, nawasihi mnifuate mimi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, nawasihi: Fuateni mfano wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, nawasihi: Fuateni mfano wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, nawasihi: fuateni mfano wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi nawasihi igeni mfano wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi nawasihi igeni mfano wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, nawasihi mnifuate mimi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 4:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mniige mimi kama mimi ninavyomwiga Kristo.


Ndugu zangu, mnifuate mimi, mkawatazame wao waendao kwa kuufuata mfano tuliowapa ninyi.


Mambo mliyojifunza kwangu na kuyapokea, na kuyasikia na kuyaona kwangu, yatendeni hayo; na Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.


Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha kulipokea neno katika dhiki nyingi, pamoja na furaha ya Roho Mtakatifu.


Si kwamba hatuna haki hiyo, ila kwa makusudi ya kuwapa mfano wa kuiga, mtufuate.


Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.


Wala si kama wajifanyao mabwana wa wale walio chini ya utunzaji wao, bali iweni mifano kwa lile kundi.