Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 3:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kazi ya mtu aliyoijenga juu yake ikikaa, atapata thawabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 3:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


Basi yeye apandaye, na yeye atiaye maji ni wamoja, lakini kila mtu atapata thawabu yake mwenyewe kulingana na taabu yake mwenyewe.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Maana nikiitenda kazi hii kwa hiari yangu nina thawabu; ila ikiwa si kwa hiari yangu, nimeaminiwa uwakili.


Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake.


Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji la kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi, mbele za Bwana wetu Yesu, wakati wa kuja kwake?


Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;


Nawasihi wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao, na shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu utakaofunuliwa baadaye;


Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.