Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 2:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 2:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanamke mmoja, jina lake Lidia, mwenye kuuza rangi ya zambarau, mwenyeji wa Thiatira, mcha Mungu, akatusikiliza, ambaye moyo wake ulifunguliwa na Bwana, ayatunze maneno yaliyonenwa na Paulo.


Maana Kristo hakunituma ili nibatize, bali niihubiri Habari Njema; wala si kwa hekima ya maneno, msalaba wa Kristo usije ukabatilika.


Mimi nilipanda, Apolo akatia maji; bali mwenye kukuza ni Mungu.


Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.


Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si kutoka kwetu.


katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za haki za mkono wa kulia na za mkono wa kushoto;