Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 16:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kama ikifaa niende na mimi, watasafiri pamoja nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikionekana ni vyema na mimi niende, basi hao watu watafuatana nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ikionekana ni vyema na mimi niende, basi hao watu watafuatana nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kama ikifaa niende na mimi, watasafiri pamoja nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 16:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ila sasa ninakwenda Yerusalemu, nikiwahudumia watakatifu;


nami nitakapofika nitawatuma kwa barua wale mtakaowachagua, wachukue hisani yenu mpaka Yerusalemu.


Lakini nitakuja kwenu, nikiisha kupita kati ya Makedonia; maana napita kati ya Makedonia.


Wala si hivyo tu, bali alichaguliwa na makanisa asafiri pamoja nasi katika jambo la neema hii, tunayoitumikia, ili Bwana atukuzwe, ukadhihirike utayari wetu.


wakituomba sana pamoja na kutusihi kuhusu neema hii, na shirika hili la kuwahudumia watakatifu.