Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:56 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:56
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Basi akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta; nanyi mtakufa katika dhambi yenu; mimi niendako ninyi hamuwezi kuja.


Kwa hiyo niliwaambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye, mtakufa katika dhambi zenu.


Kwa sababu sheria ndiyo ifanyayo hasira; maana pasipokuwapo sheria, hapana kosa.


Lakini karama ile haikuwa kama lile kosa; kwa maana ikiwa kwa kukosa kwake yule mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu, na kipawa kilicho katika neema yake mwanadamu mmoja Yesu Kristo kimezidi kwa ajili ya wale wengi.


Kwa maana ikiwa kwa kukosa mtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja, zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo.


Lakini sheria iliingia ili kosa lile liwe kubwa sana; na dhambi ilipozidi, neema ilikuwa nyingi zaidi;


Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.


Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;