Baadaye akaonekana na wale kumi na mmoja walipokuwa wakila, akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki wale waliomwona alipofufuka katika wafu.
1 Wakorintho 15:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili. Biblia Habari Njema - BHND kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili. Neno: Bibilia Takatifu na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili. Neno: Maandiko Matakatifu na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili. BIBLIA KISWAHILI na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili; |
Baadaye akaonekana na wale kumi na mmoja walipokuwa wakila, akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki wale waliomwona alipofufuka katika wafu.
Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe).
si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;
Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?