Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili; baadaye huja ule wa roho.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida, kisha ule mwili wa kiroho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida, kisha ule mwili wa kiroho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida, kisha ule mwili wa kiroho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini si ule wa kiroho uliotangulia, bali ni ule wa asili, kisha ule wa kiroho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini si ule wa kiroho uliotangulia, bali ni ule wa asili, kisha ule wa kiroho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili; baadaye huja ule wa roho.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:46
6 Marejeleo ya Msalaba  

mkijua neno hili, ya kuwa utu wetu wa kale ulisulubishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena;


Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa kiumbe aliye hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.


Mtu wa kwanza atoka katika nchi, ni wa udongo. Mtu wa pili atoka mbinguni.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.