Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huyameesha majani kwa makundi, Na maboga kwa matumizi ya mwanadamu; Ili atoe chakula katika nchi,


Maana kama nchi itoavyo machipuko yake, na kama bustani ioteshavyo vitu vilivyopandwa ndani yake; ndivyo Bwana MUNGU atakavyootesha haki na sifa mbele ya mataifa yote.


nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;


Nyama zote hazifanani; nyingine ni ya wanadamu, nyingine ya hayawani, nyingine ya ndege, nyingine ya samaki.


Hivyo, apandaye si kitu, wala atiaye maji, bali Mungu akuzaye.