Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipokuwa wakienda, alilala usingizi. Ikashuka tufani juu ya ziwa, mashua ikaanza kujaa maji, wakawa katika hatari.


Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?


Naam, ndugu, kwa huku kujisifu kwangu niliko nako juu yenu katika Kristo Yesu Bwana wetu, ninakufa kila siku.


kama wasiojulikana, bali wajulikanao sana; kama wanaokufa, kumbe tu hai; kama wanaorudiwa, bali wasiouawa;


Nami, ndugu zangu ikiwa ninahubiri habari ya kutahiriwa, kwa nini ningali ninaudhiwa? Kwa kufanya hivyo kikwazo cha msalaba kimeondolewa!