Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana BWANA amenena hayo.


Nitawakomboa kwa nguvu za kaburi; nitawaokoa kutoka kwa mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Huruma itafichika machoni mwangu.


wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.


Kuko wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? Uko wapi, Ewe mauti, uchungu wako?


na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutoharibika, kwa ile Injili;


Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,


Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.


Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.


Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.