Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena ikiwa Al-Masihi hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena ikiwa Al-Masihi hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akatoa njiwa, aone kwamba maji yamepunguka usoni pa nchi;


Hakika nimejisafisha moyo wangu bure, Na kunawa mikono yangu nisitende dhambi.


Lakini nikasema, Nimejitaabisha bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida; lakini hakika hukumu yangu ina BWANA, na thawabu yangu ina Mungu wangu.


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka;


Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu.


na kwa hiyo mnaokolewa; ikiwa mnayashika sana maneno niliyowahubiria isipokuwa mliamini bure.


Nami nilikwenda kwa kuwa nilifunuliwa, nikawaeleza Injili ile niihubiriyo katika Mataifa, lakini kwa faragha kwa hao viongozi waliosifika, isiwe labda napiga mbio bure, au nilipiga mbio bure.


Maana, ikiwa tunaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?