Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 14:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa ajili ya hayo, ndugu, jitahidini sana kutoa unabii, wala msizuie kunena kwa lugha.