Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 14:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana ni kweli, wewe washukuru vema, bali yule mwingine hajengwi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mnaweza kuwa mnatoa shukrani kweli, sawa, lakini huyo mtu mwingine hajengeki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mnaweza kuwa mnatoa shukrani kweli, sawa, lakini huyo mtu mwingine hajengeki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana ni kweli, wewe washukuru vema, bali yule mwingine hajengwi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 14:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana.


Namshukuru Mungu ya kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote;


Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali atoaye unabii hulijenga kanisa.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kutoa unabii, maana yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa.


Ila sasa, ndugu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini, isipokuwa nasema nanyi kwa njia ya ufunuo, au kwa njia ya elimu, au kwa njia ya hotuba, au kwa njia ya fundisho?