Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho wa Mungu kwa faida ya wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utawaambia watu wote wenye uwezo wa hali ya juu, niliowapa ubingwa wamfanyie Haruni mavazi ili awekwe wakfu anitumikie katika kazi ya ukuhani.


Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo.


Vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, jitahidini kusudi mzidi sana kuwa nazo ili kulijenga kanisa.


Maana ni kweli, wewe washukuru vema, bali yule mwingine hajengwi.


lakini katika kanisa napenda kunena maneno matano kwa akili zangu, nipate kuwafundisha wengine, kuliko kunena maneno elfu kumi kwa lugha.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kutoa unabii, maana yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa.