Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wote wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Je, wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Je, wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Je, wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, wote wana karama ya kuponya? Je, wote hunena kwa lugha mpya? Je, wote wanatafsiri?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, wote wana karama ya kuponya? Je, wote hunena kwa lugha mpya? Je, wote wanatafsiri?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wote wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine fasiri za lugha;


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.


Je! Wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda miujiza?


mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja;


Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.