Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda miujiza?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, wote ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni walimu? Je, wote wanatenda miujiza?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, wote ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni walimu? Je, wote wanatenda miujiza?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda miujiza?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:29
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.


Wote wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri?