Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake.


Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo.


Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi.


Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?


Na jicho haliwezi kuuambia mkono, Sina haja na wewe; wala tena kichwa hakiwezi kuiambia miguu, Sina haja na ninyi.