Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama mwili wote ukiwa jicho, kuko wapi kusikia? Kama wote ni sikio kuko wapi kunusa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mwili wote ungakuwa jicho tu, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote ungekuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mwili wote ungelikuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama mwili wote ukiwa jicho, kuko wapi kusikia? Kama wote ni sikio kuko wapi kunusa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Aliyelitia sikio mahali pake, asisikie? Aliyelifanya jicho, asione?


Sikio lisikialo, na jicho lionalo, BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili.


Na sikio likisema, Kwa kuwa mimi si jicho, mimi si wa mwili; je! Linakuwa si la mwili kwa sababu hiyo?


Bali Mungu amevitia viungo kila kimoja katika mwili kama alivyotaka.


Na jicho haliwezi kuuambia mkono, Sina haja na wewe; wala tena kichwa hakiwezi kuiambia miguu, Sina haja na ninyi.


Je! Wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda miujiza?


(Hapo zamani katika Israeli, mtu alipokwenda kuuliza neno kwa Mungu, husema hivi, Haya! Twende kwa mwonaji; maana mtu aitwaye sasa Nabii hapo zamani aliitwa Mwonaji.)