Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi mwili si kiungo kimoja, bali ni viungo vingi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi mwili si kiungo kimoja, bali ni viungo vingi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo.


Mguu ukisema, Kwa kuwa mimi si mkono, mimi si wa mwili; je! Unakuwa si wa mwili kwa sababu hiyo?


Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?


Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.


Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.