Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 11:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 11:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.


Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio wagonjwa na dhaifu, na watu kadhaa wamelala.


Ila tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia.


Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kututakasa na udhalimu wote.


Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.