1 Wakorintho 11:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo. Biblia Habari Njema - BHND Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo. Neno: Bibilia Takatifu Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa. Neno: Maandiko Matakatifu Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa. BIBLIA KISWAHILI Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa. |
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kututakasa na udhalimu wote.
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.