Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 11:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, Na kumrudia BWANA tena.


Basi sasa, BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili.


Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa.


Jichunguzeni wenyewe muone kama mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa iwe mmekataliwa.


Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake.