Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 11:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi mnapokutanika pamoja haiwezekani kula chakula cha Bwana;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya kula Karamu ya Bwana!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya kula Karamu ya Bwana!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli mnakutana, lakini si kwa ajili ya kula Karamu ya Bwana!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkutanikapo pamoja si Chakula cha Bwana Isa mnachokula,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkutanikapo pamoja si chakula cha Bwana Isa mnachokula,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi mnapokutanika pamoja haiwezekani kula chakula cha Bwana;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 11:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa habari za dhabihu za matoleo yangu, hutoa dhabihu ya nyama na kuila; lakini BWANA hawakubali; sasa ataukumbuka uovu wao, na kuwapatiliza dhambi zao; watarudi kwenda Misri.


Na wakati mnapokula chakula na kunywa, je, Hamli kwa ajili ya nafsi zenu, na kunywa kwa ajili ya nafsi zenu?


Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.


Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kushiriki chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,


Lakini katika kuagiza haya, siwasifu, ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara.


kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu, ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu.


kwa maana kila mmoja hutangulia kutwaa chakula chake katika kule kula; hata huyu ana njaa, na huyu amelewa.


wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.


Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa; wamekuwa ni mawaa na aibu wakifuata anasa zisizo kiasi katika karamu zao za upendo, wafanyapo karamu pamoja nanyi;


Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;