Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 10:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wala tusimjaribu Al-Masihi, kama baadhi yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na nyoka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wala tusimjaribu Al-Masihi, kama baadhi yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na nyoka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 10:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bali walitamani sana nyikani, Wakamjaribu Mungu jangwani.


Wakamjaribu Mungu mioyoni mwao Kwa kutaka chakula kwa tamaa zao.


Lakini walimjaribu Mungu Aliye Juu, wakamwasi, Wala hawakuzishika shuhuda zake.


Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu.


Kwa hiyo hao watu wakamgombeza Musa, wakasema, Tupe maji tunywe. Musa akawaambia, Kwa nini mnanigombeza? Mbona mnamjaribu BWANA?


Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo?


Msimjaribu BWANA, Mungu wenu, kama mlivyomjaribu huko Masa.