Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 10:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtu asitafute faida yake mwenyewe, bali ya mwenzake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu yeyote asitafute yaliyo yake mwenyewe, bali kila mtu atafute yale yanayowafaa wengine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu yeyote asitafute yaliyo yake mwenyewe, bali kila mtu atafute yale yanayowafaa wengine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu asitafute faida yake mwenyewe, bali ya mwenzake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 10:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.


haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;


Tazama, hii ni mara ya tatu ya mimi kuwa tayari kuja kwenu, wala sitawalemea. Maana sivitafuti vitu vyenu, bali nawatafuta ninyi; maana haiwapasi watoto kuweka akiba kwa wazazi, bali wazazi kwa watoto.


Maana wote wanatafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu.