Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 10:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nasema watu wenye ufahamu, amueni wenyewe kuhusu haya niyasemayo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nasema watu wenye ufahamu, amueni wenyewe kuhusu haya niyasemayo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 10:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya hayo, wapenzi wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! Si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?


Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunika kichwa?


Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga, bali katika akili zenu muwe watu wazima.


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye akili katika Kristo; sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?


Na kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; Twajua ya kuwa sisi sote tuna ujuzi. Ujuzi huleta majivuno, bali upendo hujenga.


jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;