Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 1:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana Mwenyezi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 1:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Jisifuni kwa jina lake takatifu; Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Nanyi semeni, Ee Mungu wa wokovu wetu, utuokoe, Utukusanye kwa kututoa katika mataifa, Tulishukuru jina lako takatifu, Tuzifanyie shangwe sifa zako.


Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Katika BWANA nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.


Utawapepeta, na upepo utawapeperusha; upepo wa kisulisuli utawatawanya; nawe utamfurahia BWANA, utajitukuza katika Mtakatifu wa Israeli.


Katika BWANA wazao wote wa Israeli watapewa haki, na kutukuka.


nawe utaapa hivi, Kama BWANA aishivyo, katika kweli, na katika hukumu, na katika haki ndipo mataifa watabarikiwa na yeye, nao watajitukuza katika yeye.


Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.


Basi ndugu, mambo hayo nimeyafanya kuwa mfano wa mimi na Apolo kwa ajili yenu, ili kwamba kwa mfano wetu mpate kujifunza kutokupita yale yaliyoandikwa; ili mmoja wenu asijivune kwa ajili ya huyu, kinyume cha mwenziwe.


Lakini, Yeye ajisifuye, na ajisifu katika Bwana.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili.