Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 1:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 1:29
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ambao wanazitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;


Je! Shoka lijisifu juu yake alitumiaye? Je! Msumeno ujitukuze juu yake auvutaye? Ingekuwa kana kwamba bakora ingewatikisa waiinuao, au fimbo ingemwinua yeye ambaye si mti.


BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake;


Basi, nina sababu ya kuona fahari katika Kristo Yesu mbele za Mungu.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Ku wapi, basi, kujisifu? Kumefungiwa nje. Kwa sheria ya namna gani? Kwa sheria ya matendo? La! Bali kwa sheria ya imani.


Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.


kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye aonaye fahari na aone fahari juu ya Bwana.


Maana ni nani anayekupambanua na mwingine? Nawe una nini usichokipokea? Lakini iwapo ulipokea, wajisifia nini kana kwamba hukupokea?


Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulichachusha donge zima?


wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.