Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. (

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. (

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo hakuna awezaye kusema amebatizwa kwa jina langu. (

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo hakuna mtu yeyote anayeweza kusema kwamba alibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 1:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;


Tena niliwabatiza watu wa nyumbani mwa Stefana; zaidi ya hao, sijui kama nilimbatiza mtu yeyote mwingine.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa niliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.