Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 1:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nashukuru, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, ila Krispo na Gayo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 1:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadhaa.


Na Krispo, mkuu wa sinagogi, akamwamini Bwana pamoja na nyumba yake yote. Wakorintho wengi waliposikia, waliamini, wakabatizwa.


Gayo, mwenyeji wangu, na wa kanisa lote pia, awasalimu. Erasto, wakili wa mji, na Kwarto, ndugu yetu, wanawasalimu. [


mtu asije akasema kwamba mlibatizwa kwa jina langu.


Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;


Namshukuru Mungu ya kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote;


Ila Mungu ashukuriwe, anayetufanya tushangilie ushindi daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.


na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo.


Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.


Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.


shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.


Nami namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu, akaniweka katika utumishi wake;


Namshukuru Mungu wangu sikuzote, nikikukumbuka katika maombi yangu;