Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 9:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

basi, BWANA akamtokea Sulemani mara ya pili kama alivyomtokea huko Gibeoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu alimtokea tena kama alivyomtokea kule Gibeoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu alimtokea tena kama alivyomtokea kule Gibeoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu alimtokea tena kama alivyomtokea kule Gibeoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamtokea mara ya pili, vile alivyomtokea huko Gibeoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamtokea mara ya pili, kama alivyokuwa amemtokea huko Gibeoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

basi, BWANA akamtokea Sulemani mara ya pili kama alivyomtokea huko Gibeoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 9:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi BWANA akamghadhibikia Sulemani kwa sababu moyo wake umegeuka, naye amemwacha BWANA, Mungu wa Israeli, aliyemtokea mara mbili,


Na huko Gibeoni BWANA akamtokea Sulemani katika ndoto ya usiku; Mungu akamwambia, Omba utakalo nikupe.


BWANA akamtokea Sulemani usiku, akamwambia, Nimesikia uliyoyaomba, na mahali hapa nimejichagulia kuwa nyumba ya dhabihu.