Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 9:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Baalathi, na Tamari ulio nyikani, katika nchi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kadhalika miji ifuatayo: Baalathi, na Tamari, mji ulio nyikani katika nchi ya Yuda

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kadhalika miji ifuatayo: Baalathi, na Tamari, mji ulio nyikani katika nchi ya Yuda

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kadhalika miji ifuatayo: Baalathi, na Tamari, mji ulio nyikani katika nchi ya Yuda

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akajenga Baalathi na Tamari kwenye jangwa katika eneo la nchi yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

akajenga Baalathi na Tamari kwenye jangwa katika eneo la nchi yake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Baalathi, na Tamari ulio nyikani, katika nchi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 9:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

na miji yote ya hazina iliyokuwa yake Sulemani; na miji ya magari yake, na miji ya watu wake wapandao farasi, na kila alichopenda kujenga Sulemani huko Yerusalemu, na katika Lebanoni, na katika nchi yote ya mamlaka yake.


Akaujenga Tadmori wa nyikani, na miji yote ya hazina, aliyoijenga katika Hamathi.


Na upande wa kusini, kuelekea kusini, utakuwa ni kutoka Tamari mpaka maji ya Meriba-Kadeshi, mpaka kijito cha Misri, mpaka bahari kubwa. Huu ndio upande wa kusini, kuelekea kusini.


Elteka, Gibethoni, Baalathi;