Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 8:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

basi, uyasikie maombi yao na dua yao, huko mbinguni, makao yako, ukaitetee haki yao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

basi, nakusihi kutoka huko mbinguni uliko usikie sala yao na ombi lao uwapatie haki zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

basi, nakusihi kutoka huko mbinguni uliko usikie sala yao na ombi lao uwapatie haki zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

basi, nakusihi kutoka huko mbinguni uliko usikie sala yao na ombi lao uwapatie haki zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

basi usikie dua na maombi yao ukiwa mbinguni, makao yako, ukawape haki yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

basi, uyasikie maombi yao na dua yao, huko mbinguni, makao yako, ukaitetee haki yao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 8:49
6 Marejeleo ya Msalaba  

basi, uyasikie huko mbinguni maombi yao na dua yao, ukaitetee haki yao.


watakaporejea kwako kwa mioyo yao yote, na kwa nia zao zote, katika nchi ya adui zao, waliowachukua mateka, wakikuomba, kwa kuikabili nchi yao, uliyowapa baba zao, na mji huu uliouchagua, na nyumba hii niliyoijenga kwa jina lako;


ukawasamehe watu wako waliokutenda dhambi, na makosa yao yote waliyokukosa; ukawape kuonewa huruma mbele yao waliowachukua mateka, ili wapate kuwahurumia.


Basi sasa, Ee BWANA, Mungu wetu, utuokoe na mkono wake, nakusihi, ili kwamba falme zote za dunia zipate kujua ya kuwa wewe ndiwe BWANA Mungu, wewe peke yako.


Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu, Na wahitaji haki yao.