Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 7:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na madirisha yalikuwako safu tatu, mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulikuwa na safu tatu za madirisha yaliyoelekeana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulikuwa na safu tatu za madirisha yaliyoelekeana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulikuwa na safu tatu za madirisha yaliyoelekeana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Madirisha yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Madirisha yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na madirisha yalikuwako safu tatu, mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 7:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akaifanyia nyumba madirisha ya miangaza yenye kimia.


Ikafunikwa juu kwa mwerezi juu ya mihimili arubaini na mitano, iliyokuwa juu ya nguzo; kumi na mitano kwa safu.


Na milango yote na miimo ilikuwa ya mraba, ilivyoangaziwa; na mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu.


Nami nitaifanya minara yako ya akiki nyekundu, na malango yako ya almasi, na mipaka yako yote ya mawe yapendezayo.


Na kwa vile katika vyumba palikuwa na madirisha yaliyofungwa, na kwa miimo yake ndani ya lango pande zote, na kwa matao yake vivyo hivyo; na madirisha yalikuwako, pande zote upande wa ndani, tena palikuwa na mitende juu ya kila mwimo.


Na madirisha yake, na matao yake, na mitende yake, kipimo chake ni sawasawa na kipimo cha lango lililoelekea upande wa mashariki; nao hupanda kwa madaraja saba; na matao yake yalikuwa mbele yake.


Tena palikuwa na madirisha ndani yake, na katika matao yake pande zote kama madirisha hayo; urefu wake dhiraa hamsini, na upana wake dhiraa ishirini na tano.


navyo vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake, sawasawa na vipimo hivyo; tena palikuwa na madirisha ndani yake, na katika matao yake pande zote; urefu wake dhiraa hamsini, na upana wake dhiraa ishirini na tano.


navyo vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake, kwa vipimo hivyo; tena palikuwa na madirisha ndani yake, na katika matao yake pande zote; urefu wake dhiraa hamsini, na upana wake dhiraa ishirini na tano.


vyumba vyake vya walinzi, na miimo yake, na matao yake; tena palikuwa na madirisha ndani yake pande zote; urefu wake dhiraa hamsini, na upana wake dhiraa ishirini na tano.


Tena palikuwa na madirisha yaliyofungwa, na mitende, upande huu na upande huu, katika pande za ukumbi; ndiyo habari ya vyumba vya mbavuni vya nyumba hiyo, na vya boriti zile nene.