Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Sulemani alikuwa katika kuijenga nyumba yake mwenyewe miaka kumi na mitatu, akaimaliza nyumba yake yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Solomoni alijijengea ikulu, nayo ilimchukua miaka kumi na mitatu kumalizika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Solomoni alijijengea ikulu, nayo ilimchukua miaka kumi na mitatu kumalizika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Solomoni alijijengea ikulu, nayo ilimchukua miaka kumi na mitatu kumalizika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kukamilisha ujenzi wa jumba lake la kifalme.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ilimchukua Sulemani miaka kumi na mitatu kukamilisha ujenzi wa Jumba lake la kifalme.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Sulemani alikuwa katika kuijenga nyumba yake mwenyewe miaka kumi na mitatu, akaimaliza nyumba yake yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 7:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Sulemani akafanya ujamaa na Farao, mfalme wa Misri, akamwoa binti yake Farao, akamleta mjini mwa Daudi, hata alipokwisha kuijenga nyumba yake, na nyumba ya BWANA, na ukuta wa kuuzunguka Yerusalemu.


Na katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, kulingana na kanuni zote. Basi muda wa miaka saba alikuwa katika kuijenga.


Ikawa Sulemani alipokwisha kuijenga nyumba ya BWANA, na nyumba ya mfalme, na mambo yote yaliyoingia moyoni mwake Sulemani, naye akataka kuyafanya,


Ikawa miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Sulemani alizijenga zile nyumba mbili, nyumba ya BWANA na nyumba yake mfalme,


Ikawa miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Sulemani aliijenga nyumba ya BWANA, na nyumba yake mwenyewe;


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.