Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 6:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Sulemani akaijenga hiyo nyumba akaimaliza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, Solomoni akaijenga nyumba na kuimaliza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, Solomoni akaijenga nyumba na kuimaliza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, Solomoni akaijenga nyumba na kuimaliza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Sulemani akajenga Hekalu na kulikamilisha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Sulemani akajenga Hekalu na kulikamilisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Sulemani akaijenga hiyo nyumba akaimaliza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 6:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika mwaka wa kumi na mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake yote, kulingana na kanuni zote. Basi muda wa miaka saba alikuwa katika kuijenga.


Basi ndivyo alivyoijenga nyumba, akaimaliza; akaifunika nyumba kwa boriti na mbao za mwerezi.


Hivyo kazi yote aliyoifanya mfalme Sulemani katika nyumba ya BWANA ikamalizika. Sulemani akaviingiza vile vitu alivyovitakasa Daudi baba yake, yaani, fedha, na dhahabu, na vyombo; akavitia ndani ya hazina za nyumba ya BWANA.


Na mara tatu kila mwaka Sulemani alikuwa akitoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu aliyomjengea BWANA akafukiza uvumba pamoja nazo juu ya madhabahu iliyokuwako mbele za BWANA. Hivyo akaimaliza nyumba.


Akausimamisha ukuta wa ua kuizunguka maskani na madhabahu, akalitundika pazia la mlango wa ule ua. Basi Musa akaimaliza hiyo kazi.