Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 4:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitunga methali 3,000 na nyimbo 1,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitunga methali 3,000 na nyimbo 1,500.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitunga methali 3,000 na nyimbo 1,500.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akanena mithali elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano (1,005).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 4:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akanena habari za miti tangu mwerezi ulioko Lebanoni hata hisopo umeao ukutani; pia akanena habari za wanyama, na za ndege, na vitambaavyo, na samaki.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Hizi nazo ni mithali za Sulemani, ambazo watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda, walizinakili.


Tena, zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wowote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili.


Lakini, kwa sababu huyo Mhubiri alikuwa na hekima, aliendelea kuwafundisha watu maarifa, naam, akatafakari, akachunguza, akatunga mithali nyingi.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.