Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 4:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwana wa Hesedi, katika Arubothi; na Soko ilikuwa kwake na nchi yote ya Heferi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ben-hesedi alisimamia mji wa Arubothi, alisimamia pia Soko na nchi yote ya Heferi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ben-hesedi alisimamia mji wa Arubothi, alisimamia pia Soko na nchi yote ya Heferi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ben-hesedi alisimamia mji wa Arubothi, alisimamia pia Soko na nchi yote ya Heferi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwana wa Hesedi, katika Arubothi na Soko lilikuwa kwake na nchi yote ya Heferi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 4:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;


Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka;


Na kura ilikuwa ni ya hao wana wa Manase waliosalia kwa kufuata jamaa zao; kwa wana wa Abiezeri, kwa wana wa Heleki, kwa wana wa Asrieli, kwa wana wa Shekemu, kwa wana wa Heferi na kwa wana wa Shemida; hao ndio wana wa kiume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kufuata jamaa zao.