Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 3:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na mtoto wa mwanamke huyu akafa usiku, maana alimlalia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu, usiku mmoja, mtoto wake alifariki kwa sababu alimlalia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu, usiku mmoja, mtoto wake alifariki kwa sababu alimlalia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu, usiku mmoja, mtoto wake alifariki kwa sababu alimlalia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wakati wa usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mtoto wa mwanamke huyu akafa usiku, maana alimlalia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 3:19
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha, siku ya tatu baada ya kuzaa kwangu, ikawa mwanamke huyu naye akazaa; na sisi tulikuwa pamoja; hapakuwa na mtu mwingine pamoja nasi nyumbani, isipokuwa sisi wawili tu.


Akaondoka kati ya usiku, akamwondoa mtoto wangu ubavuni pangu, mimi mjakazi wako nilipokuwa usingizini, akamweka kifuani pake, na mtoto wake mwenyewe, aliyekuwa amekufa, akamweka kifuani pangu.