Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 22:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha pepo mmoja akajitokeza mbele ya Mwenyezi-Mungu, akasema, ‘Mimi nitamshawishi.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha pepo mmoja akajitokeza mbele ya Mwenyezi-Mungu, akasema, ‘Mimi nitamshawishi.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha pepo mmoja akajitokeza mbele ya Mwenyezi-Mungu, akasema, ‘Mimi nitamshawishi.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hatimaye, pepo mchafu akajitokeza, akasimama mbele za Mwenyezi Mungu na kusema, ‘Nitamshawishi.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwishoni, pepo mchafu akajitokeza, akasimama mbele za bwana na kusema, ‘Nitamshawishi.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatoka pepo, akasimama mbele za BWANA, akasema, Mimi nitamdanganya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 22:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili akwee Ramoth-Gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.


BWANA akamwambia, Jinsi gani? Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo kinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka ukafanye hivyo.


Basi angalia, BWANA ametia pepo wa uongo kinywani mwa manabii wako hawa wote; naye BWANA amenena mabaya juu yako.


Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kufanikiwa pia; ondoka, ukafanye hivyo.


Tena ilitukia siku moja hao wana wa Mungu walipokwenda kujiweka mbele za BWANA, Shetani naye akaenda kati yao, ili kujiweka mbele za BWANA.


Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.