Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 21:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno la BWANA likaja kwa Eliya Mtishbi, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, ujumbe huu wa Mwenyezi-Mungu ukamjia Elia wa Tishbe:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, ujumbe huu wa Mwenyezi-Mungu ukamjia Elia wa Tishbe:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, ujumbe huu wa Mwenyezi-Mungu ukamjia Elia wa Tishbe:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo neno la Mwenyezi Mungu lilipomjia Ilya Mtishbi kusema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo neno la bwana lilipomjia Ilya Mtishbi kusema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA likaja kwa Eliya Mtishbi, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 21:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa magunia mwilini mwake, akafunga, akajilaza juu ya magunia, akaenda kwa upole.


Huoni jinsi Ahabu alivyojidhili mbele yangu? Basi kwa sababu amejidhili mbele yangu, sitayaleta yale mabaya katika siku zake; ila katika siku za mwanawe nitayaleta mabaya hayo juu ya nyumba yake.


Naye BWANA alipoona ya kwamba wamejinyenyekeza, neno la BWANA likamjia Shemaya, kusema, Wamejinyenyekeza; sitawaharibu; lakini nitawapa wokovu punde, wala ghadhabu yangu haitamwagika juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.