Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 2:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Bathsheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bathsheba akamwambia, “Sawa; nitazungumza na mfalme kwa niaba yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bathsheba akamwambia, “Sawa; nitazungumza na mfalme kwa niaba yako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bathsheba akamwambia, “Sawa; nitazungumza na mfalme kwa niaba yako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Bathsheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 2:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nakusihi nena na Sulemani, mfalme (kwa kuwa hawezi kukukatalia neno), kwamba anioze Abishagi, Mshunami.


Basi Bathsheba akaingia kwa mfalme Sulemani, aseme naye kwa ajili ya Adonia. Naye mfalme akainuka kwenda kumlaki, akamwinamia, akaketi katika kiti chake cha enzi; kisha akaagiza awekewe kiti cha enzi mamaye mfalme; naye akaketi mkono wake wa kulia.


Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.