Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 2:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi sasa nina haja moja ninayokuomba, usinikataze hiyo. Naye akamwambia, Sema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sasa, ninalo ombi moja tu ambalo nakusihi usinikatalie.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sasa, ninalo ombi moja tu ambalo nakusihi usinikatalie.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sasa, ninalo ombi moja tu ambalo nakusihi usinikatalie.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.” Bathsheba akasema, “Unaweza kuliomba.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.” Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi sasa nina haja moja ninayokuomba, usinikataze hiyo. Naye akamwambia, Sema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 2:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi akasema, Wajua ya kwamba ufalme ulikuwa wangu, na Israeli wote wakaniwekea nyuso zao ili mimi nimiliki; lakini sasa ufalme umegeuka kuwa wake ndugu yangu; kwa maana ulikuwa wake kutoka kwa BWANA.


Akasema, Nakusihi nena na Sulemani, mfalme (kwa kuwa hawezi kukukatalia neno), kwamba anioze Abishagi, Mshunami.


Ndipo akasema, Haja moja ndogo nakuomba; usinikatalie. Mfalme akamwambia, Omba, mama; kwa kuwa siwezi kukukatalia neno.


Kwa ajili ya Daudi, mtumishi wako, Usiurudishe nyuma uso wa masihi wako.


Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa.