Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 18:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamjibu, Ni mimi. Nenda, umwambie bwana wako, Tazama, Eliya yupo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Elia akamwambia, “Naam! Ni mimi Elia. Nenda ukamwambie bwana wako kwamba niko hapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Elia akamwambia, “Naam! Ni mimi Elia. Nenda ukamwambie bwana wako kwamba niko hapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Elia akamwambia, “Naam! Ni mimi Elia. Nenda ukamwambie bwana wako kwamba niko hapa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ilya akamjibu, “Ndiyo, nenda ukamwambie bwana wako, ‘Ilya yuko hapa.’ ”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ilya akamjibu, “Ndiyo, nenda ukamwambie bwana wako Ahabu, ‘Ilya yuko hapa.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamjibu, Ni mimi. Nenda, umwambie bwana wako, Tazama, Eliya yupo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 18:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ahabu akamwita Obadia, aliyekuwa juu ya nyumba yake; (na huyu Obadia alikuwa mwenye kumcha BWANA sana;


Na Obadia alipokuwa njiani, kumbe! Eliya akakutana naye. Akamtambua, akaanguka kifudifudi, akanena, Je! Ni wewe, bwana wangu Eliya?


Akamwambia, Nimekosa nini, hata unitie mimi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu, aniue?


Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.