Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 18:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe sasa wasema, Nenda, umwambie bwana wako, Tazama, Eliya yupo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na sasa, wataka niende kumwambia kwamba wewe uko hapa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na sasa, wataka niende kumwambia kwamba wewe uko hapa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na sasa, wataka niende kumwambia kwamba wewe uko hapa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kusema, ‘Ilya yuko hapa.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kusema, ‘Ilya yuko hapa.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe sasa wasema, Nenda, umwambie bwana wako, Tazama, Eliya yupo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 18:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kama BWANA, Mungu wako, aishivyo, hakuna taifa wala ufalme ambao bwana wangu hakutuma watu wakutafute; na waliposema, Hayupo, akawaapisha ule ufalme, na taifa, ya kwamba hawakukuona.


Na itakuwa, mara mimi nikiondoka kwako, Roho ya BWANA atakuchukua uende nisikojua; nami nitakapokwenda kumwambia Ahabu, naye asipokuona, ataniua, lakini mimi mtumishi wako namcha BWANA tangu ujana wangu.


Nawe sasa wasema, Nenda umwambie bwana wako, Tazama, Eliya yupo; basi, ataniua.


Akamjibu, Ni mimi. Nenda, umwambie bwana wako, Tazama, Eliya yupo.