Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 17:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno la BWANA likamjia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu, lilimjia Elia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu, lilimjia Elia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu, lilimjia Elia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha neno la Mwenyezi Mungu likamjia Ilya, kusema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha neno la bwana likamjia, kusema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno la BWANA likamjia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 17:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akapaita mahali hapo Yehova-yire, kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.


Neno la BWANA likamjia, kusema,


Ikawa, baada ya siku kupita, kile kijito kikakatika, kwa sababu mvua haikunyesha katika nchi.


Ondoka, uende Sarepta, ulio mji wa Sidoni, ukae huko. Tazama, nimemwagiza mwanamke mjane wa huko akulishe.


Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, BWANA, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.


Hata tunathubutu kusema, Bwana ndiye anisaidiaye, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?