Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 17:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ikawa, baada ya siku kupita, kile kijito kikakatika, kwa sababu mvua haikunyesha katika nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini, baada ya siku chache kijito kikakauka kwa sababu hapakunyesha mvua nchini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, baada ya siku kupita, kile kijito kikakauka, kwa sababu mvua haikunyesha katika nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 17:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Neno la BWANA likamjia, kusema,


Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyatuma, nayo yaipindua dunia.


Amegeuza mito ikawa jangwa, Na chemchemi za maji zikawa nchi kavu.


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


Naam, hata wanyama pori wanakulilia wewe; Kwa maana vijito vya maji vimekauka, Na moto umeyateketeza malisho ya nyikani.


BWANA atakupiga kwa kifua kikuu, na kwa homa, na kwa kuwashwa, na kwa joto jingi, na kwa upanga, na kwa ukaufu, na kwa koga; navyo vitakufukuza hata uangamie.