Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 16:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamjengea Baali madhabahu katika nyumba ya Baali, aliyoijenga huko Samaria.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alimjengea Baali hekalu huko Samaria, na ndani yake akatengeneza madhabahu ya kumtambikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alimjengea Baali hekalu huko Samaria, na ndani yake akatengeneza madhabahu ya kumtambikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alimjengea Baali hekalu huko Samaria, na ndani yake akatengeneza madhabahu ya kumtambikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akatengeneza madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali alilolijenga huko Samaria.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamjengea Baali madhabahu katika nyumba ya Baali, aliyoijenga huko Samaria.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 16:32
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akajibu, Si mimi niliyewataabisha Israeli; bali ni wewe, na nyumba ya baba yako, kwa kuwa mmeziacha amri za BWANA; nawe umewafuata mabaali.


Yehu akawakusanya watu wote, akawaambia, Ahabu alimtumikia Baali kidogo; bali Yehu atamtumikia sana.


Yehu akatuma wajumbe katika Israeli yote, nao wote waliomwabudu Baali wakaja, wala hakusalia mtu yeyote asiyekuja. Wakaingia nyumbani mwa Baali; ikajaa nyumba ya Baali tangu mlango hata mlango.


Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA; ila si kama baba yake na kama mama yake; maana akaiondoa ile nguzo ya Baali aliyoifanya baba yake.